05 August 2013

CHADEMA YAPATA PIGO MBEYA


 Na Thomas Mtinge, Mbeya
CHAMACha Dem okrasian aMae ndeleo(CHAD EMA),kimepat ap igobaada yawana cha maw ake 365ak iwem oMj umbewaNE CnaBara zaKuula Vijana(BAVI CH A),Fran kFumpa kukihama chama hichonakujiu ngan a CCM.Mba li na CHADEMA, wan achamasitakutokaTLPna wanne CUFnaowamevih ama vyama vy aona kujiung anaCCM.

Fumpana wenzakew ali chukua uamuzi huojuziba aday a kukabidhi kad i zaoza uana cham akwa MwenyekitiwaJumu iyaya Waza ziTaifay a Chama ChaMapinduzi (CCM),Ab dalla hBulembokatik a mkutanowahadh ara uliofanyika maeneo ya Nzovwe mk oaniMbeya.
Miongon i mwa wana ch amahao,wamoAmbundileMwamtondonaAlex Mwa isango ambaoniwapi gadebe wakub wana wakute gem ewana CHADEMAkat ikasokolaMwanjelw am koani ha pa eneoanako ish i Mbungew aJimbolaMbeya, JosephMbilinyi.
Akiz ungumzamara baada ya kukabidhi kadi hiy o,Fumpa ali semaa lia muakuc hukua uamuzihu o aliouitakuwa nimgum ukwakeilikuondokana na adha ya kutumika na CH ADEMA.
" Kuwepondani y aC HADEMAsi utukufunakuingia CCMs idhambi, n imeamua kurudiCCM k wababana mamabaadayakuchos hwan asera mbo vuz a CHA DEMA ," alisemaFumpa.
Alise ma, anajuta kupoza muda wake mwingi a kiwaCHADEMAkwa kukosa nafasi yakuwa tumikia wanan chiw enzakekatika kuleta maendeleo.
"Sisi tulikuwa tukipoteza muda tu. Pamoja na kushikilia jimbo hili la Mbeya Mjini, lakini hakuna chochote tulichowafanyia wananchi wetu zaidi ya kupinga kila jambo linalofanywa na serikali ya CCM hata kama ni zuri," alisema.
Fumpa alisema, anashangaa CHADEMA kukebehi maendeleo yanayofanywa na serikali ya CCM huku chenyewe kikishindwa kuonesha mfano wa kile ilichokifanya.
Alisema, Serikali ya CCM ina kila hali ya kujivunia na kutembea kifua mbele kutokana na mengi iliyoyafanya kwa wananchi wake katika kipindi cha utawala wake.
"Anayesema serikali ya CCM haikufanya kitu huyo ana dhambi. Ndiyo maana hata mimi niliamua kuondoka mapema CHADEMA ili nisiendelee kupata dhambi," alisema Fumpa.
Kwa upande wake Mwaisango alisema, kuondoka kwao kumekipa pigo kubwa CHADEMA na kwamba kuanzia sasa watafanya operesheni 'Safisha CHADEMA' kwa kuhamasisha wanachama wake wajiunge na CCM.
Naye Mwamtondo alisema CCM ina kila sababu ya kujivunia baada ya kupata wanachama hao ambao walikuwa tegemeo la CHADEMA.
"Mwenyekiti sisi hatuna la kusema, tumerudi CCM kwa hiari yetu sasa kazi moja tu ni ushindi kwa CCM," alisema.
Akiwahutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano huo, Bulembo alisema kujiunga CCM kwa wanachama hao kumeichimbia kaburi CHADEMA.  

No comments:

Post a Comment