28 August 2013

KERO

Mkazi wa jiji akipita kando ya wanawake na watoto wanaojishughulisha na kuomba misaada kwa
wasamaria, kama walivyokutwa wamelala kando ya Barabara ya Bibi Titi Mohamed Upanga, Dar es Salaam jana. Juhudi zinazofanywa na mamlaka za jiji kuwaondoa mitaani ombaomba hazijafanikiwi.Baadhi ya ombaomba wamekuwa wakichafua mazingira kwa kujisaidia kando ya barabara
.

No comments:

Post a Comment