26 July 2013

VURUGU

Wakazi wa Mtaa wa Lugoda, Gerezani wakimshambulia mfanyakazi wa Kampuni ya Tambaza inayojishughulisha na kudhibiti uegeshaji wa magari bila kuzingatia utaratibu uliowekwa na mamlaka husika baada ya kufunga magari yaliyokuwa yamepaki pembezoni mwa mtaa huo Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment