26 July 2013

RC ARUSHA AISHUKURU AGRA KUFADHILI MRADI



Na Jane Edward, Arusha
MKUUwaMkoaw aArusha Mag e s aM ulongoamelish uk uru Shirik alaMuun ganowaMa pinduziyaKijani Afrika(AGRA)kwakukubali ku fadhilimradiwaJu kwaala Afya yaUdong o Tanz ani a(TASC HCO.Akitoa shu krani hizow akatiwa uzinduziwamradi huo ,amese makuwa AGR Anish irikali nalo fadhili nchin aneye ny emrad iwanamnahiyonaTanzaniaiki wa nimo jayanchi zili zofadhiliw anamr adihu o.

Aid haMulo ngo alisemakuwa zipoba adhiyachanga motozinazochangia teknolojia ya afya yaudong okuto waf ikia wad auipa savyoi kiwanipamojana matokeomengiyautafiti w a(ISF M) kufanyw a kati ka kandam ojanahivyo kus ababishaka nda nyinginekutowezakuyafaham unak uyatunza kwaurahisi.Al iongezakuwa hakuna sehemu, taasisi auchom bo cha k uku sanyia mapendek ezoyau tafitiwaISFMnaku we zakuy awekaka tikahali nzu riaumfu morafiki k wamak undimbalimbali kw awatumiaj i.
Hata hivyoM ulongoalisema kuwalengoma hsusi lak ua nzish wa kwa m radi wajukwaa laafyayaudongonikumu wezesh amkuli ma kuweza ku patamazaom azurinakupatas okon danin anjeya nchi.
Naye Dkt .Suza nI ker rakutoka Wizaray aArdhi,Chaku lanaUshirik aa lisema kuwak wa kipindihik iwakulimaw amekuwa wakitum iaa rdhi vibay atofauti nailivyoku wa hapoawali k utokanana ukosefuwaelimu kwaniwamekuw awakitunz ambole avi bayana kuitumiak inyumec hatarat ibuzinazo takiwa.
Piaalisemakutokuwa na elimu yakutosha juuyamasual ayaardhi ina pelekeakuw ep o kwau pun gufuwama zaoyabia sharanachakulanahiv yokupe lek eajamii kuk umbwa na njaapamojanaumaskini uliokithiri ndan i ya jam ii.Ameongeza kuwa wakulima wanapaswa kuwa wabunifu na kuacha kutumia mbolea za asili tu kwani hazina virutubisho kwenye ardhi na badala yake wanapaswa wachanganye mbolea ya asili pamoja na mbolea ya kisasa na kuacha kunyambua mbolea hizo. Amemaliza kwa kusema kuwa wao kama TFRA wamejipanga kutoa mafunzo kwa maofisa ugani na wauzaji pamoja na wakulima ikiwa ni pamoja na kufanya ukaguzi wa ghafla ili kuweza kuwabaini wale wanaoenda kinyume na taratibu za masuala ya kilimo pamoja na mambo mengin

No comments:

Post a Comment