11 July 2013

UCHAGUZI KIDATO CHA V

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) Dar es Salam jana kuhusu taarifa ya uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha tano katika shule za sekondari za Serikali na vyuo vya ufundi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Elimu ya Msingi, Zuberi Samataba.

No comments:

Post a Comment