11 July 2013

UKAGUZI DARAJA KIGAMBONI

Mafundi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni linalojengwa na Kampuni za China Railway Jiangchang Engineering (T) Ltd na China Major Bridge Engineering Company wakipita na Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli(hayupo pichani) baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo Dar es Salaam juzi.

No comments:

Post a Comment