Na Daud Magesa, Mwanza
TATIZO la uhabawa
maji lililokuw alikiikab iliChuoKi kuuch aMtak atifuAugust ine(S AUT)jijini
Mwan za limepati wa ufu mbuzi baadayaKampuniyaBia(TBL)kuwa k abidhi matenki
mawili ya maji.
Matenki
hayoyenyetha mani ya sh.mil. 50yalik abidhi wajananamene jamau zo na us ambaza
jiwaTBLKa ndayaZ iwa,MalakiSi taki kwaMakam uMk uuwa chuo hichoaliye malizamu
dawa keD kt.Charles Kitima.
Sitaki alisema
matenki hayo kilam ojali naujaz o w alitalaki moj ahivy oku wanauw ezo wakut
oshelezamahitajiya us ambazaji wamaji kati ka kampa siyaMalimbetofautin ah
apoawaliam bapo walikuw an atatizo la maj i.
Alise maTB
Limeku waha iangalii faidape key akeba lifaidawanay oipatai mekuwa
ikitumikakatikakusaidi amahitajim balimbali kwenye jamii ikiwemo ya miradi hiyo
ya maji.
Katika hatua nyingine kampuni hiyo ya
TBL imekabidhi hundi ya zaidi ya sh. mil. 49.5 kwa halmashauri ya wilaya ya
Misungwi kwa ajili ya kufufua mradi wa visima vya maji kwenye vijiji 11.
Hundi hiyo imekabidhiwa jana na
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Stephen Kilindo kwa mkandarasi, Simon
Mazuka wa kampuni ya Nyagama Investment ambapo ukarabati huo unaanza mara moja.
Kilindo alisema kazi ya ukarabati wa
visima 20 ambavyo awali vilikuwa vikifanya kazi lakini vikaharibika kutokana na
ubadhirifu na wizi wa pampu vinatarajiwa kukamilika baada ya siku 60.
Alisema, TBL imekuwa ikiunga
mkono jitihada za serikali za kukuza uchumi wa nchi na kwamba inatambua umuhimu
huo katika jamii.
No comments:
Post a Comment