29 July 2013

MWEKEZAJI KIWANDA CHA SIMENTI AAHIDIWA USHIRIKIANO



KITUO c haUw ekezajinch ini (TIC)kimeuh aki kishiauongoziw akampuniyaDangoteGroupkuwauwekezajina uje n ziw akiwan dachasime nti unaofanywana kampuni hiyonchini utaendel eakupatiwaushirikianowakutosha ili kiwezekukamilika na kuanzauzalishaji kwamudau liopangwa, anaripoti Mwa ndish iWetu.

Hayoyalise mwana Mk urugenziMtenda ji waTIC, JulietKairuki, mwisho ni mwawiki jijiniDar es Salaamwakati akizungum zanaujum bewaviongoz i wakampuni hiyowa liote mbeleakituo hicho.
AlisemaSe rikaliikoma kini kuhakikis hawawe kez ajihaowanapatakil aai nayamsaadawanaohitaj i ilika ziyao ien de vizuri kwa fai da yapan dez otembili.
Kwamuji buwa mk urugenzi huyoSer ikali inatarajiakuo na kiwan dahikikinakamil ikanakuanzau zalisha ji. Alisemakazi ya kitu ohichonikuhamas ishawawekezaji kuja kuwekeza na kuwasaidia wanapokuwa nchini.
Ujio wa kiwanda hicho unaelezwa kuwa utakuwa mkombozi mkubwa katika uzalishaji wa simenti.
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Dangote, DVG Edwin alitoa shukrani kwa TIC na serikali kwa ujumla kwa kuwashawishi kuja kuwekeza nchini na kwa msaada wanaoendelea kupata kutoka serikalini.
“Serikali kupitia kituo hiki imetupatia ushirikiano mzuri tangu mwanzo hadi sasa ujenzi unapoendelea,” alisema.
Alisema ni sera ya kampuni hiyo kuzalisha bidhaa bora lakini zenye bei nzuri kwa watumiaji.
“Tunaahidi ushindani bora kwenye soko na watu wa Tanzania watarajie mazuri kutoka kwetu,” alisema. Aliongeza kuwa dhamira ya uongozi wa kampuni hiyo ni kuhakikisha Afrika inavuna rasirimali zake na inaziongezea thamani kwa manufaa ya watu wake.

No comments:

Post a Comment