29 July 2013

MKOPO VODA


 Mwenyekiti wa Kikundi cha Tupendane Bi.Rosena Rashid, Mkazi wa Tarafa ya Matombo Morogoro (kushoto), vijijini akipokea mkopo wa fedha kutoka kwa wakala wa M-Pesa wa Vodacom Morogoro, Bw.Verus Bitahilo (aliyeketi) Kampuni hiyo inatoa mikopo kwa wanawake wadogowadogo wajasiriamali hapa nchini isiyokuwa na riba yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 327 kupitia mradi wake wa 'MWEI'. Anayeshuhudia wa pili toka kulia walioketi ni Meneja wa mradi huo Bi. Grace Lyon.

No comments:

Post a Comment