03 July 2013

KNCU YAUZA ASILIMIA 20 YA KAHAWA SAFI


 CHAMA Kikuucha UshirikamkoaniK iliman jaro(KNCU), kiliuza ku pitiakite ngochak ec ha uuzajiwakaha wa,asil imia20 yakahawa yotesa fi il iyokusanywakatikamsim uwa2012/2013, anaripoti Heckton Chuwa, Moshi.
Hayo yameelezwa na meneja mkuuwaKNCUH ones tTemba, wakat i wa mkutano mkuuw a 31 wachama hicho uliofanyika mwishoni mwawi ki.Kwa mujibuwa Bw. Temb a,KN CUilikusan yakilo1,444,250 msim uwa2012 /201 3.

"Asilimia 84ya kah awayotesafi iliuzwanje kweny e sokolahakinakuingiz ia Dola zaMareka ni 76,02 7, katikamsimuhu o," alisem ana kuonge za mapa toyamauzoha yoyalitumika kusom es heawatotowa wakulimaa mbaoniwan achama wach amahich okiku u.
Alis emak uwamapato hayo pia yalitu mik aka tik akutoahud umazajamiinazi lezau gani k wavyam a wa nacha mailiku ongeza uzalishaji nauborawa za ohilo.
"Sokola kuu zakahawanje yanchi limekuw anach angamo tony ingikutokan a nanchi zaMare kaniyaKusinikuza lishaka hawanyin gi ambapom simuhuu zim ezalisha maguni amilio ni50ambayoyaliingiaso koniikilin ganishw a na magun iatakr ibanimilioni2tuliyozalisha sisi," alisema.
Bw. Temba alisema kuwa biashara za kahawa kitengo cha kukaanga kahawa pamoja na mgahawa wa kahawa zinaendelea vizuri na kwamba chama hicho kikuu kinatarajia kufungua mgahawa mwingine Jijini Dar es Salaam, mwezi Agosti, mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji unywaji wa kahawa ndani ya nchi

No comments:

Post a Comment