29 July 2013

AIRTEL YATOSHA YAJAZA WATU FEDHA



KAMPUNIyasim u zamkon oni ya A irtel imewazaw ad iawas hindi14wakilasikuwa promos heni yaAirt el Y atoshaShin daN yumbakilamm ojash.milioni mojape sataslimukupitiahudu mayaAirtel Mone y,an aripoti Mwand ishiWet u
.Wa shindi haow al ipa tikana ku pitia drooya wikiya kwanza nayawikiy apilia mba pojumlayawash indi 14kutokak ati kamikoa mbalim ba li yanchiwal ipatikan anaha timayekukabidhiwapes azao .Akizungum zaj anawakati wa kukabidhi zaw adikw awashi ndihao, MenejaMauzowaKan dam koaniAru sha.Stephen Akyoo alisema wanafurahikupatawashindi h aokupitiapromosheni ya Airt el yatoshana kuwakabidhizawadi zao.
“Washindi hawa wamepatikana kutoka katikam ikoamb alimbal i naku jishin diakila mmoja shilin gimilionimo japesatasl imukwakutu mia huduma z a Airt el Yatoshanakujiu nganavifurushivyetumbalimba l i,” alisema.Naye Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akitangaza majina ya washindi hao alisema;
 “Washindi wetu wa wiki ya kwanza na ya pili ni pamoja na Hawa Said mkazi wa Mtwara, John Masawe mkazi wa singida, Joseph Emmanuel Nchimbi wa Songea, Rosemary Michael na John Masanja kutoka Tabora , Zuhura Sabuni kutoka Lindi, Balistus Mambo kutoka Moshi, Robert Faustine kutoka Arusha , Frank Ladislaus na Paulina
Michael kutoka Sengerema Mwanza, Flavian Adamson Malilo kutoka Katavi, Jacob Muhole kutoka Dodoma, Singodi Severin kutoka Kagera na Ephrasia Thadeo kutoka Ngara.“Ili kushiriki mteja anatakiwa kupiga *149*99# na kununua kifurushi cha huduma ya Airtel Yatosha cha siku, wiki au mwezi na kuunganishwa moja kwa moja kushiriki kwenye promosheni na kupata nafasi ya kushinda nyumba au pesa taslimu shilingi milioni moja kila siku,” alisema.

No comments:

Post a Comment