31 May 2013

Kigoma watakiwa kuchangamkia promosheni Vodacom

Na Mwandishi Wetu, Kigoma


 MZAZI wa kija naaliy eshindash.milio ni10 0katika promosheniya VodacomMahela, Bw .Nicodemus Nalisis am etoawit okwawa kaziw a Mkoaw aKigo mak ujen gatabia yakushiriki mash in danomba lim bali yanayotolewanakamp unizasimuza mkononi hapanchini.
Bw.Nicodemus alisemahayo juzi mkoaniKi gomaw akat ialipowasili kumpok eakijana wakeB w.ValerianKamugish aaliyewasilimkoani hapa marab aada ya kuka bidhiwakiasi chash .mi lioni10 0m wanzoni mwawik ihiibaad ay akuibukamshindiwashindanoh ilo .
Alisem a k uwa hatua yakushiriki ma shindanoha yoyatatoa fursayaushindi k wawa nanchiwengi mkoani Kigoma hivyo kuongeza uwezekano wa mkoa wa Kigoma kutoa washindi wengi katika mashindano yanayoendeshwa na Vodacom na kubadilisha maisha yao ya kiuchumi na
kimaendeleo kiujumla.
Bw.Ni c o d emu s a l i e l e z a kufurahishwa na hatua ya mwanae kushinda katika shindano hilo na kwamba mbali na hiyo kuwa fedha hizo ni msingi mzuri wa maisha ya kijana huyo lakini pia ushindi huo ni fahari kwa wananchi wa Kigoma na historia kubwa ya kijana huyo na familia.
Alisema ingawa yeye alishiriki katika promosheni hiyo, bila mafanikio lakini anampongeza mwanaye kushinda kwani sawa kama yeye ameshinda tu.
Licha ya kuipongeza kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwa mashindano mbalimbali likiwemo la Vodacom Mahela na kwamba hatua hiyo inachangia katika kukuza na kupanda uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja na familia kwa ujumla.
Aidha mmoja wa majirani wa familia ya mshindi huyo Bw. Jackson Kakwaya mfanyabiashara wa bidhaa madukani alisema hatua ya ushindi wa kijana huyo inapaswa kuwa hamasa tosha kwa watu wengi wa mkoa huu kushiriki katika shindano hilo kikamilifu.
Alisema ushindi huo umemfanya aamini kuwa hakuna upendeleo katika shindano hilo na hakutarajia kama ingewezekana mkazi wa Kigoma kushinda shindano tena la fedha nyingi kiasi hicho.
Alisisitiza Vodacom kuendeleza program kama hizo hatua ambayo alisema inawapa fursa washindi kuboresha maisha yao ghafla kutoka katika hali ya chini au ya kawaida nakuwa tajiri kwa muda mfupi.
Kwa upande wake mshindi wa Vodacom Mahela Bw. Valerian Kamugisha mbali na kupongeza Vodacom kwa kumkabidhi zawadi hiyo alikiri shindano hilo kutokuwa na mianya yoyote ya rushwa nakusema kuwa hana ndugu katika kampuni hiyo lakini ameshinda.
Aliwataka wananchi kuamini mashindano yanayoendeshwa na Vodacom na kushiriki mara kwa mara jambo ambalo litaongeza idadi ya washindi mkoani Kigoma na kuondoa dhana kuwa Kigoma haiwezi kutoa mshindi.

No comments:

Post a Comment