31 May 2013

Dawa bandia kugundulika kwa kutumia simu

Na Rachel Balama


 KAMPUNIzakuten genezadawa za b ina damunchini zimetak i wakutumia teknolojiampya ijulikanayo“hakikisha d awa156 29 ”iliyoanzishwan akampu ni yadawa yaG laxoSmithKline ili kudhibiti da w abandia.
Mwit ohu ou litolew a Dar es Salaamja nan aNaibuWaziriwaAfyanaUstawiwaJamii , Dkt.Seif Rashi d, wakati a kiz induaprogramuyamtanda owah a kikisha dawahal isi kwaku tum aujumbemfupi wamaneno kwen da1 5629 .
A lisemak uwanjia hiyoitasaidia kudhibitida waba ndiakw ak uwa changamo tokub wailiyo pokw asasaniuwepo wadaw a band iapamoja na watukuu zadawazi sizofaakutibumago njwa.
Alis emaSerikali itajitahidi kufanyauhakik iilikuhakikisha
kwamba dawaz ote zinazotokanjeyanchi zinakuwa halisi na si ban dia .
Al ionge zakwa mbaku tamb uahilo,ndioma anaBoha riKuuya Da wa(MSD) pam ojana MamlakayaCh akulanaDaw a(TFDA) zimekuwaz ikishiriki anakikazi kuhakikish akwambadaw a zotezin azoingia nchini zinahakikiwa naTFDA.
Akizung umziaprogra mu hiyoyaHakikishaDawa, MkuuwaM asua la yaUdhibiti wa Nchi zinazoendel ea, Dk t WilliamMwatu, alisemanihuduma ya k utumaujum bemfupikupitias imuinayow apawat umiaji wadawanjiayakuhaki kishadaw a wan azonu nua zim etokakampu niyaGSKnani halisi.
Ali sem ahuduma hiyo inapatikana kwada watembeya Au gm entin625m gpam oja na tembezadawa ya min yooyaZante l400mg, ambapopake ti ya dawait akuwa nakibandikochakumuulizamtumiaji atafute nam ba ya uhakiki sho.
Ali semakilapak itiyadawa juuyakeimeb andik waki ban dikocha usa lama,a mbachokina namba yauhakik iiliyofich wa,a mbapomnunuzi ataikw ang ua nak isha kuandikanambahiyokweny esimunakuitum akwen dan amba15629na kishaku patajib ukama dawa hiyoni halis i kutokaGS K .
Al isemahudum ahiyo ni bureitatole waku pitiamta ndao. Alio ngezakuw ahudu mahiyoitaendelea kwa dawa za magonjwa mengine kama Kifua Kikuu (TB), UKIMWI pamoja na Malaria.
Kwa upande wake Makamu wa Rais wa Chama cha Madaktari nchini (MAT), Dkt. Primius Saidia, alisema katika nchi zilizopo Jangwa la Sahara asilimia 30 ya dawa ni bandia na nyingi hasa za malaria.
Alisema njia hiyo itaisaidia Serikali kuhakikisha wauzaji na watengenezaji wa dawa bandia wanapatikana na kuwataka madaktari kutoa dawa ambazo zinaweza kutibu magonjwa.

No comments:

Post a Comment