05 April 2013

VIBALI UKAAZI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Bi. Samia Suluhu Hassan (kulia), akipewa maelezo ya Vibali vya Ukaazi Zanzibar na Mkuu wa Kitengo cha kuzalishia hati za kusafiria
na Ukaazi, Bw. Haji Hamza (aliyekaa). Bi. Hassan jana alifanya  ziara ya kutembelea taasisi za Muungano ziliopo Zanzibar.
(Picha na Ali Meja)

No comments:

Post a Comment