02 April 2013

MAANDAMANO


Katibu Habari na Uenezi Taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Kitengo cha Vijana, Bw. Deogratias Kisandu (kushoto), akiongoza maadamano ya kusisitiza amani yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Kahama, mkoani Shinyanga na baadaye kufanya mkutano wa hadhara kwenye Viwanja vya CDT, uliokuwa na lengo la kuhubiri amani, upendo na mshikamano. Kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa chama hicho, Bw. Hemed Msabaha. (Picha na Patrick Mabula)

No comments:

Post a Comment