11 March 2013

WAFANYAKAZI WA BUSINESS TIME SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kulia), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanykazi wa Kampuni ya Business Times Ltd, mara baada ya kutembelea kampuni hiyo. (Picha na Zourha Malisa)

No comments:

Post a Comment