18 March 2013

UZINDUZI


Mkuu wa Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera, Kanali mstaafu Issa Njiku, akikata utepe ili kuzindua vyumba viwili vya madarasa kwenye Shule ya Msingi Kyaka, vilivyojengwa kwa msaada wa Taasisi ya Vodacom Foundation wilayani humo. Taasisi hiyo pia imetoa madawati tisini ikiwa ni jitihada za Kampuni ya
Vodacom Tanzania kuchangia maendeleo ya elimu nchini.
(Na Mpigapicha Wetu).

No comments:

Post a Comment