05 March 2013

SHEKHE PONDA


Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kisilamu Shekhe Issa Ponda akiwa chini ya ulinzi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  Dar es Salaam jana,wakati akirudishwa mahabusu baada mahakama hiyo kushindwa kutoa maamuzi hadi Jumatano wiki hii wakati washitakiwa watano wa kesi hiyo watakapojitetea upya.(Picha na Heri Shaaban)

2 comments:

  1. AMESHINDWA KUSOMA AYA MOJA MAJINI YAKAMFUNIKA ASKARI WASIMWONE AU TU ASOME AYA MILANGO YA GEREZA IFUNGUKE ATOKE AU HANA UDHU

    ReplyDelete
  2. KAULI YAKO INALENGA UCHOCHEZI

    ReplyDelete