05 March 2013

MSHANGAO


Baadhi ya wapitanjia wakilishangaa tingatinga lililokuwa likiondoa tope chini ya daraja la Jangwani, Dar es Salaam jana. Tabia ya baadhi ya wananchi kushangaa hata mambo ya kawaida linasababisha kupoteza muda wa kujishughulisha katika masuala muhimu ya maendeleo yao. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment