05 March 2013

GEMA HATARI


Wapitanjia wakipita kando ya gema eneo la Magomeni Mapipa, Dar es Salaam jana. Gema hilo linalotishia usalama wa nyumba zilizopo karibu limesababishwa na mmomonyoko wa udongo kutokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha jijini. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment