04 March 2013

AJIRA


Wasichana hawa walikutwa na mpigapicha wetu wakisafisha vioo vya magari yaliyokuwa katika foleni katika makutano ya Barabara za Nyerere na Msimbazi, Dar es Salaam jana, tatizo la ajira kwa vijana linachangia baadhi yao kubuni ajira zisizo rasmi ili kujipatia kipato. Hata hivyo malipo ya kazi hiyo ambayo hufanyika bila makubaliano hutegemea huruma ya mwenye gari. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment