01 February 2013

MICHEZO

Waziri wa Fedha,Dkt Wiliam Mgimwa (kulia) akimkabidhi jezi na mpira,nahodha wa timu ya soka ya Vijana ya Kijiji cha Itagutwa,Sufian Mfilinge ikiwa ni juhudi za kuwahamasisha kuendeleza michezo.Picha na Eliassa Ally

No comments:

Post a Comment