14 January 2013

UZUNDUZI DARAJA


Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mstahiki Yusuf Mwenda, (wa pili kulia) akiongozana na wakazi wa eneo la Mbezi Ndubwi, kwenda eneo la uzinduzi wa ujenzi wa daraja kwenye eneo hilo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni baadhi ya viongozi wa manispaa. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji na Mazingira wa Manispaa hiyo. Diwani wa Kata ya Kigogo, Richard Chengula. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment