15 January 2013

USAFI


Mkazi wa jiji akisafisha daladala lililokuwa katika foleni, kama alivyokutwa makutano ya Barabara za Nyerere na Msimbazi (KAMATA), Dar es Salaam jana. Baadhi ya vijana wamebuni njia ya kujipatia kipato kwa kusafisha magari yakiwa barabarani ingawa hufanya hivyo bila makubaliano na mhusika. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment