18 January 2013

TCRA


Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kampuni za mitandao ya simu Tanzania wakisikiliza maoni mbalimbali, Dar es Salaam jana, kuhusu utozaji wa viwango sawa kwa upigaji simu kwa mitandao yote nchini ifikapo Mwezi Machi mwaka huu. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment