28 January 2013

SHAMRASHAMRA


Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu, wakiwa juu ya gari namba T 561 BWJ huku wakiwa wamenyanyua bendera zao juu kwa ishara ya kusherehekea Maulid ya Kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (S.A.W),katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana.(Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment