15 January 2013

SAMAKI


Wafanyabiashara katika Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Juma Khamis (kushoto) na Bw. Said Ally, wakiwa wamembeba samaki aina ya Kitoga wakimpeleka katika mnada kwa mauzo, kama walivyokutwa na mpigapicha wetu, Dar es Salaam jana. Kwa maelezo ya wafanyabiashara hao samaki huyo walitarajia kumuuza kwa sh. 60,000. (Picha na Peter Twite) 

No comments:

Post a Comment