14 January 2013

MSAADA


Mbunge wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro, Bw. Amos Makalla (katikati) akipeana mkono na muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Matale wilayani humo mwishoni mwa wiki (wa pili kulia), baada ya kukabidhi vitanda viwili na matandiko kwa ajili ya matumizi ya wagonjwa. Wengini ni baadhi ya viongozi wa kijiji hicho. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment