14 January 2013

MSAADA


Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Star Media Tanzania, Bw. David Kisaka, akimkabidhi mgonjwa Abubakar Ramadhani mkazi wa Manzese Tip Top, king'muzi, Dar es Salaam jana kwa niaba ya wagonjwa wengine wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala. Kampuni hiyo imetoa seti za runinga na ving'amuzi zitakazotumika katika wadi mbalimbali za wagonjwa katika hospitali hiyo. Kulia ni Kaimu Mganga Mkuu, Dkt. Kariamel Wandi na Ofisa Mawasiliano wa kampuni hiyo. Bw. Elic Sprian. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment