Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa (kushoto), akikabidhi kiroba cha mchele kwa Meneja wa Kituo cha Kusaidia Watumiaji wa Dawa za Kulevya kuachana na matumizi hayo (Sober House), kilichopo Chakechake Pemba, Zanzibar Bw. Abdulwaheed Said (wa pili kulia), ni Meneja wa Vodacom Foundation Bi. Grace Lyon na Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom Bw. Alum Mwalim hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki (Picha nampigapicha wetu
No comments:
Post a Comment