28 January 2013

MAKABIDHIANO

Inspekta wa Jeshi la Polisi nchini, Said Mwema akimkabidhi Kamanda wa Kanda Maalumu Mkoa wa Dar es Salaam, Suleiman Kova kwa niaba ya makamanda wote pikipiki 564 kwa ajili ya kuimarisha ulinzi nchini. (Picha kwa hisani ya Mtandao.)

No comments:

Post a Comment