MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:

mawasiliano

  • Makala
  • Uchumi na Biashara
  • Michezo na Burudani
  • Habari Mikoani
  • Mwanzo

13 December 2012

UFUNGUZI


Rais Jakaya Kikwete akimpokea mtoto  Mwamvua Omari (1) wakati wa ufunguzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana. Mtoto huyo ni wa kwanza kuzaliwa kwenye hospitali hiyo, iliyojengwa kwa msaada wa Serikali ya Korea Kusini. Anayemkabidhi ni mama wa mtoto huyo, Bi. Salima Salum. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala, Dkt. Aisha Mahita na Mkuu wa Mkoa huo. Bw. Said Meck Sadik. (Picha na Heri Shaaban)

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Archive

Zilizopendwa

  • Lipumba awavaa viongozi CHADEMA
    Na Benedict Kaguo, Pangani MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  • Mbunge wa zamani kuibuka kidedea NEC
    Na Faida Muyomba, Geita MBUNGE wa zamani wa jimbo la Nyang'hwale  mkoani Geita,Bw. James Msalika,ameibuka kidedea  katika nafasi ya ujum...
  • SAKATA LA DOWANS:Wanasheria wamuunga mkono Jaji Bomani
    *Wasema Hoja zake zimezingatia sheria si porojo za siasa *Wakerwa na wasomi wanafunzi kubeza maoni yake Na Mwandishi Wetu SIKU moja baa...
  • Mrema: Posho zitatugombanisha na wananchi
    *Amshangaa Rais Kikwete kumnyima nishani  Na Gift Mongi, Moshi CHAMA cha Tanzania Labour Party (TLP), kimesema nyongeza ya posho za wabu...
  • HOFU YA VYETI FEKI SERIKALINI
    WATUMISHI WOTE SASA KUHAKIKIWA VYETI VYAO ASKARI WALIOVITUMIA KUPANDA VYEO KUKIONA   Na Heri Shaaban Wizara ya Ulinzi na Jeshi ...

TAFUTA HABARI

Google
Custom Search

PATA HABARI


Majira
Business Times
Spoti Starehe

mawasiliano

mhariri mtendaji - 0773138085
mhariri wa habari - 0774442490

Dawati la makala
mhariri michezo - 0774442860
matangazo - 0774443110
usambazaji - 0774441131
Picture Window theme. Powered by Blogger.

Visitors - Start from November 9, 2011

Majira counter