23 November 2012

ZIARA


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima (kushoto) akisikiliza maelezo ya Kamishina wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Laurence Kabigi, wakati wa ziara ya kukagua shughuli za kikosi hicho, Dar es Salaam juzi. (Picha na Peter Mwenda)

No comments:

Post a Comment