26 November 2012

WAZAZI


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Abdallah  Bulembo, akizungumza na Wafanyakazi na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tegeta (hawapo pichani) wakati wa ziara ya siku moja ya kutembelea shule za jumuiya hiyo, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Dogo Mbarouk na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Utekelezaji Wazazi Taifa ambaye pia Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Bi. Angela Kiziga. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment