27 November 2012

WASTAAFU


Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania wakati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Kitengo cha Ufundi Reli mkoani Kigoma kabla ya kuvunjika jumuiya hiyo mwaka 1977, Bw. Hamisi Ramadhani na Fundi Rashid (kushoto) wakiwa katika makazi ya muda kwa miaka miwili eneo la Stesheni, Dar es Salaam jana,  wakati wakisubiri kulipwa na Serikali stahili zao. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment