21 November 2012

WACHUUZI


Baadhi ya wachuuzi wa mboga za majani na matunda wa Mkoa wa Arusha wakisubiri wateja kando ya Barabara ya Kijenge juzi. Ukosefu wa maeneo maalumu kwa biashara hiyo ni kero kwa wafanyabiashara hao. (Picha na Michael Machellah)

No comments:

Post a Comment