19 November 2012

VURUGU


Askari kanzu (wa pili kulia) akimdhibiti kondakta wa basi linalosafiri kati ya Kariakoo na Gongolamboto (kulia). Kondakta huyo alituhumiwa kugombana na kondakta mwingine (hayupo pichani), kama walivyokutwa Shule ya Uhuru, Kariakoo Dar es Salaam jana. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment