30 November 2012

UZINDUZI


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, akifungua pazia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba za kisasa eneo la Ilala Mchikichini, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, Bw. James Lembeli na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Abdulkarim Shah. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment