29 November 2012

UZIDUZI


Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Bw. Jordan Rugimbana, akikata utepe wakati wa ufunguzi wa duka jipya la Huduma kwa Wateja wa Vodacom, Dar es Salaam jana, lililopo Barabara ya Haile Selasie Oysterbay, duka hilo linatarajiwa kupunguza msongamano wa wateja. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza na Meneja wa Duka hilo, Bi. Lilian Kimaro. (Picha na Anna Titus)

No comments:

Post a Comment