19 November 2012

UWEKEZAJI


Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Peniel Lyimo, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kikosi kazi cha pamoja kati ya serikali na mwekezaji kutoka China katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya na uendelezaji wa eneo maalumu la kiuchumi la Bagamoyo mkoani Pwani. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment