21 November 2012

UVUVI

Baadhi ya wavuvi wakiendelea na shughuli zao ufukweni mwa ziwa victoria,ni kati ya sehemu ya watu wanaonufaika kupitia mradi wa Hifadhi Mazingira ya Ziwa Victoria (LVEMP 11), kwa kupewa elimu kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira na kujiepusha uvuvi wa kutumia zana zisizoruhusiwa.(Picha na mtandao).

No comments:

Post a Comment