21 November 2012

AJALI


Wakazi wa jiji wakipita kando ya gari Toyota Canter namba T 612 BHY, lililopinduka baada ya kugongana na gari jingine Toyota Canter namba T 529 AAY (halipo pichani). Ajali hiyo ilitokea eneo la Buguruni Barabara ya Mandela, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment