26 November 2012

USAFI


Mkazi wa jiji akisafisha daladala lililokuwa katika foleni ya kupakia abiria, kama alivyokutwa Shule ya Uhuru Barabara ya Msimbazi, Dar es Salaam jana. Uoshaji huo unatokana kukosa muda wa kuyapeleka katika maeneo maalumu ya kuoshea. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment