28 November 2012

UMEME


Mkazi wa Dar es Salaam akipita kando ya mashine za kufua umeme (Generator) kama zilivyo kutwa nje ya maduka kwenye Mtaa wa Agrey, Kariakoo jana. Tatizo la kukatika umeme linasababisha kuongezeka kwa matumizi ya mashine hizo. (Picha na Prona Mumwi)


No comments:

Post a Comment