30 November 2012

TUZO


Mkurugenzi wa Mahusiano ya Serikali kwenye Kampuni binafsi ya African Barrick Gold (ABG), Bw. Emmanuel Ole Naiko (kushoto), akipokea tuzo ya ushindi wa kwanza ya utumishi bora wa umma kutokana na juhudi zake
za kusaidia ukuaji wa sekta binafsi nchini. Kutoka kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni binafsi nchini, Bw. Ali Mufuruki, Dar es Salaam juzi.
(Na Mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment