26 November 2012

TIBA ASILI


Wanawake wa kimasai wakitoa huduma ya tiba asili eneo la Magomeni, Dar es Salaam jana. Kushoto ni mmoja wa wateja akisikiliza kwa makini ushauri wa tiba hiyo. Kupanda kwa fghalama za matibabu hospitalini kunasababisha baadhi ya watu kukimbilia huduma za dawa asili. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment