28 November 2012

SALAMU

Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia), akisalimiana na Shekhe Mkuu wa Bagamoyo, mkoani Pwani, Abdallah Masoud Jembe, anayesumbuliwa na maradhi alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Ramiah, mjini humo. Picha na OMR

No comments:

Post a Comment