21 November 2012

MSIBA

Rais Jakaya Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maomboleza nyumbani kwa marehemu Jackson Makwetta, Boko kwa Wagogo, Dar es Salaam jana, alipofika kutoa heshima za mwisho. Makwetta aliwahi kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment