29 November 2012

MSHINDI ZUKU


Mshindi wa tatu wa shindano la 'Shinda Biashara na Mtaji' kutoka ZUKU Bw. Muhaji Hassan (kushoto) mkazi wa Zanzibar akipeana mkono na Meneja  Biashara wa gazeti hili, Bw. Cecil Mushi, wakati wa makabidhiano ya zawadi za ving'amuzi na madishi kwa washindi, Dar es Salaam jana, (wa kwanza kulia) ni Msanifu Mkuu wa Habari wa gazeti hili, Bw. Samwel Petro na judith Kereth wa Idara ya Usambazaji. (Picha na Anna Titus)

No comments:

Post a Comment