28 November 2012

MSAADA


Mkurugenzi Mkazi wa Plan Internatinal, Bw. David Muthungu, akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam jana, kuhusu mpango wa taasisi hiyo ya Kimataifa wa kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini. Kulia Ofisa Mtendaji Mkuu, Bw. Nigel Chapman. (Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment